MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 923
- 1,101
Kati ya mleta mada hii,na kafulila ni nani anatumika?
Wewe huwezi kujiuliza ni kwa nini nchi wahisani wamegomea kutokea michango yao ambayo ilikuwa ikifikiwa kama bilioni 900,hadi pale serikali itakapotoa maelezo kuhusiana na sakata hili.
Na kwa hali halisi serikali imepata kigugumizi kulingana hali ilivyo tete na wahisani wanaelewa kwa undani kuliko mimi na wewe
Kitendo cha kafulila kuzungumzia utendaji kazi wa kampuniya IPTL(CHINI YA PAP) kwa kuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP na kuikosea kampuni ya PAP/IPTL,Ninaamini IPTL/PAP inaonewa na wanasiasa na wafanyabiashara uchwara wenye chuki dhidi yaIPTL/PAP either kwa ulafi walionao ama tamaa zao za fedha,kwamfano mtu kama kafulila anaonekana kabisa yupo kimaslahi ktk suala hili na ameishahongwa sh.3.1bilion ili alishikie bango na kulisema ndani ya bunge na ata bunge lijalo anataka aliletee hoja binafsi bungeni.