IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

Angalia ulivyo mtupu pumbaf mkubwa.

Panick tu msomi, sasa mimi niliyekimbia umande, nakwambia weka hoja zako za kisomi mezani sio makala za mwanaume zitto,tuje tujadili hapa,unajidharirisha mno huna hata chembe ya usomi
 
Angalia ulivyo mtupu pumbaf mkubwa.

Leo umepanic na utaishia kutukana sana kwenye mijadala hii,na sitaacha kuweka ukweli hapa jamvini mpaka upate heart attack,nimekuacha mbali kwa kila kitu,ulichonizidi ni urefu,upumbavu na matusi yako..karibu utukane bwana mdogo
 
Acha upumbavu wa kudai nimepanick mburula wewe.

Leo umepanic na utaishia kutukana sana kwenye mijadala hii,na sitaacha kuweka ukweli hapa jamvini mpaka upate heart attack,nimekuacha mbali kwa kila kitu,ulichonizidi ni urefu,upumbavu na matusi yako..karibu utukane bwana mdogo
 
Typo twice within few minutes!!!! Division 5 elimu MULUGO unaambiwa kabisa hili neno kwenye Kiswahili hakuna unarudia kosa lile lile!! Wacha uokotwe na hao mafisi na mapanya ili uje uvuruge mjadala. Haya wewe mpumbavu chonga IDs bado hujafikisha 10,000 pumbaf mkubwa wee.

Kumbee ata wewe kichwa maji nilikuwa cjui asa ndo umeandika nini hapo
Yani humu wewe ndo unapindisha mjadala kichwa box kweli
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!! Division 5 elimu MULUGO....kuandika ni mgogoro mkubwa maskini!

Naona mwalimu wa kiswahili umekuja kuleta ujinga wako ili watu watoke kwenye hoja
Ila mkuu una kitu umebakia bichwa kubwa ndani maji
Kafundishe shule za kata
 
Kwi kwi kwi lo!!!! sina undugu na mamburula mie watetezi wa mafisadi. Kwa ujira mdogo unaosababishwa na ulafi wenu mkubwa mko tayari kufanya lolote kusaliti nhi yenu na Watanzania wenzenu. Wafadhili wamelivalia njuga hili lazima mtaumbuka tu.

Ongera mtoto wa katumbili
 


KAMPUNI ya kufua umeme IPTL/PAP sasa imezidi kufahamika kuwa haina kesi au mgogoro wowote mahakamani baina yake na Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), imefahamika.

Hali hiyo imekuja wakati kukiwepo na habari katika mitandao na baadhi ya vyombo vya habari(isipokuwa gazeti hili) kuwa IPTL/PAP haikustahili kulipwa malipo ya ESCROW kwa kuwa kuna kesi mahakamani.
Taarifa zaidi zinaeleza kesi hiyo inadaiwa imefunguliwa na TANESCO kuhusiana na ukubwa wa gharama za uendeshaji ‘Capacity charge’ unaofanywa na Kampuni ya IPTL.

Hata hivyo, taarifa zaidi kuhusiana na suala hilo, zinasema kwamba kesi hiyo ilishatolewa hukumu yake tangu 2001, ambapo Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara ICSID iliagiza IPTL ishushe gharama zake kutoka dola milioni 4.2 hadi dola milioni 2.6 kwa mwezi.

Taarifa zilisema baada ya kumalizika kwa kesi hiyo, ndipo kukazuka mgogoro mwingine wa kimaslahi baina ya waliokuwa wabia wa IPTL, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar ya nchini Malaysia uliopelekea VIP kuomba kampuni ifilisiwe na isilipwe hata thumni na TANESCO.

Kutokana na maombi hayo ya kampuni ya VIP, Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme inayotumia.

Katibu na Mwanasheria wa Kampuni ya IPTL, PAP, Joseph Makandege alisema hawana kesi na TANESCO na anashangazwa na taarifa zinazotolewa.

“Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,’’alisema.

Aliongeza; “VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa kukemewa,’’.

Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na benki ya Standard Chartered ya Hongkong inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar ya Malaysia.

“Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu wetu kwa Watanzania na tutapambana mahakamani,’’alisema Makandege kwa kujiamini.

Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika la Umma.

CHANZO: Majira
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
Kwikwijwikwi mwambie huyo mwalimu wa kiswahili maana kazi yake ni kutukana tu bichwa maji
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.
 
PAP/IPTL ina dhamira kubwa kwa watanzania na inasononeka kwa kiasi kikubwa na kauli za wanasiasa uchwara wanazotoa dhidi yao kwa lengo la kuichafua heshima iliyojijengea kampuni hiyo mbele ya watanzania kwa umma kuwa ni ovu na hazina tija kwa taifa letu na kuwaomba watanzania kuzipuuza kauli hizo kwa kuwa hazina msingi wowote,kwa kuwa kauli hizo zinatolewa na wanasiasa wanaotumiwa na kampuni pinzani na IPTL ili kuwachafua.

Magazeti ya jamani mpaka raha
Iptl yazidi kushine MZEE BAK AKA MZEE WAMATUSI HUPO
kasome dailynews la leo then uje huku
Wapi MANI upo mzee wa kumezeshwa sumu
 
attachment.php
 
Kwi kwi kwi lo!!!! sina undugu na mamburula mie watetezi wa mafisadi. Kwa ujira mdogo unaosababishwa na ulafi wenu mkubwa mko tayari kufanya lolote kusaliti nhi yenu na Watanzania wenzenu. Wafadhili wamelivalia njuga hili lazima mtaumbuka tu.
wewe kichwa maji upo wapi njoo huku
 
Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania
Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala
wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.
Makubaliano hayo yalilenga kumaliza mgogoro wa kimaslahi
baina ya wabia, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar
kutoka nchini Malaysia, ambapo VIP ilikuwa inamlalamikia
mbia mwenzake kuhusu thamani ya hisa zake.

IPTL imetokana na Muungano wa kampuni yaMechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwakampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyokitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwakuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP nakuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
 
Back
Top Bottom