Ipo wapi The Mwalimu Nyerere Foundation?

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050
...Wanajamvi hivi hii Taasisi ya Mwalimu bado ipo??, na inafanya nini?
Kuna kipindi kulikuwa na Mpango(Project) wa kujenga Investment House kwa ajili ya hii Taasisi sijui ulifikia wapi?
Tujadili.
 
unadhani baada ya Mchonga kumsababishia aibu mkuu wa kaya wa sasa kipindi kile monduli, m.k.w.e.r.e hawezi kihangaika nae, labda kama unataa ile R1 Foundation, hivi wewe ushamsikia jaah kaaya akisema 'bana wa taifa?' well kukujibu tu swali lako, foundation hiyo ipo kigamboni, choka mbaya.
 
duh, typing ya leo, utadhani nimevuta bangi, duh lusinde lusinde leo looh!!!
 
Subiri masiku machache watakapo fanya kumbukumbu ya kifo cha mwalim utaisikia.
 
Bora ingefutwa tu maana naona kama inashusha hadhi ya Hayati baba wa taifa,..
 
Interest za Viongozi wa wasasa siyo kum popularize Baba wa Taifa bali ku popularize maisha yao. Katika hali kama hii unadhani kuna innovation yoyote katika kuiendeleza The MN Foundation????
 
​Mhh mi navyofahamu hiyo Foundation bado ipo tena iko strong. Ilikuwa wajenge kitega uchumi chao cha Ghorofa zaidi ya 15 pale karibu na Benki kuu, lakini kutokana na sababu za kiintelejensia walikataliwa na ba badala yake wakapatiwa kiwanja kile kalichokuwa kikitumiwa na Parking System wale jamaa wanaokusanya pesa town unapopaki gari lako. Hapo sasa ndio wanatarajia kuanza ujenzi huo.
 
unadhani baada ya Mchonga kumsababishia aibu mkuu wa kaya wa sasa kipindi kile monduli, m.k.w.e.r.e hawezi kihangaika nae, labda kama unataa ile R1 Foundation, hivi wewe ushamsikia jaah kaaya akisema 'bana wa taifa?' well kukujibu tu swali lako, foundation hiyo ipo kigamboni, choka mbaya.
Usicheze na DR. JK (aka dr wa uchakachuaji)
 
Bora ingefutwa tu maana naona kama inashusha hadhi ya Hayati baba wa taifa,..
..Kwakweli inasikitisha, kwa Wenzetu Ulaya na Marekani Taasisi kama hizi za Viongozi wastaafu/waliofariki ambao walikuwa ni Visionery Leaders kama Mwalimu, ndio Taasisi kubwa na zinaendeshwa na watu makini wanaoendeleza zile falsafa za mwenye jina la Taasisi kwa Vitendo. Hili kwanini limeshindikana hapa kwetu. Badala yake zinazoshobokewa ni Taasisi za Wake wa Marais, WAMA, EOTF. bado nyingine itakuja baada ya Uchaguzi 2015
 
Interest za Viongozi wa wasasa siyo kum popularize Baba wa Taifa bali ku popularize maisha yao. Katika hali kama hii unadhani kuna innovation yoyote katika kuiendeleza The MN Foundation????
..cha kushangaza Viongozi waliowekwa kuiongoza hii Taasisi ndio wale wanasema walikuwa Wanafunzi wa Mwalimu, Mzee Butiku Joseph, Salim A. Salim?. Where have all leaders gone?
 
​Mhh mi navyofahamu hiyo Foundation bado ipo tena iko strong. Ilikuwa wajenge kitega uchumi chao cha Ghorofa zaidi ya 15 pale karibu na Benki kuu, lakini kutokana na sababu za kiintelejensia walikataliwa na ba badala yake wakapatiwa kiwanja kile kalichokuwa kikitumiwa na Parking System wale jamaa wanaokusanya pesa town unapopaki gari lako. Hapo sasa ndio wanatarajia kuanza ujenzi huo.
...Well kama una uhakika ipo na ipo strong, vizuri. Lakini kwanini wanafanya mambo yao chini ya Carpet, kimya kimya. Tunataka kusikia nini wanafanya kuendeleza falsafa za Mwalimu kwa Vitendo, Tunataka kuisikia inatoa Scholarships za masomo kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu waliopikwa kuzienzi falsafa za Mwalimu ili wawe Viongozi wa Nchi hii baadae, tunataka kuisikia inakemea vitendo vya Rushwa na Ufisadi vilivyokithiri ktk Nchi hii sa hivi ambavyo Mwalimu alivikemea kwa nguvu zake zoote
 
...Wanajamvi hivi hii Taasisi ya Mwalimu bado ipo??, na inafanya nini?
Kuna kipindi kulikuwa na Mpango(Project) wa kujenga Investment House kwa ajili ya hii Taasisi sijui ulifikia wapi?
Tujadili.

Mkurugenzi mtendaji amekula pesa zoooote kazimaliza. Alipewa pesa na Sabodo ili achezeshe bahati nasibu zawadi hazikuwahi kutolewa!! Alipewa pesa na Museveni hazikujulikana zilipoenda!! Muulizeni si yupo?
 
...Wanajamvi hivi hii Taasisi ya Mwalimu bado ipo??, na inafanya nini?
Kuna kipindi kulikuwa na Mpango(Project) wa kujenga Investment House kwa ajili ya hii Taasisi sijui ulifikia wapi?
Tujadili.

sasa hivi ndio kuna makontena ofisi ya NPS..
 
...Well kama una uhakika ipo na ipo strong, vizuri. Lakini kwanini wanafanya mambo yao chini ya Carpet, kimya kimya. Tunataka kusikia nini wanafanya kuendeleza falsafa za Mwalimu kwa Vitendo, Tunataka kuisikia inatoa Scholarships za masomo kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu waliopikwa kuzienzi falsafa za Mwalimu ili wawe Viongozi wa Nchi hii baadae, tunataka kuisikia inakemea vitendo vya Rushwa na Ufisadi vilivyokithiri ktk Nchi hii sa hivi ambavyo Mwalimu alivikemea kwa nguvu zake zoote

Walifanya kosa na wao kuutaka utawala wa nchi badala ya kuwa kando na kusimamia sera za mwalimu kwa kukemea Rushwa na Ufisadi. Sasa baada ya kuingia kwenye kinyang'anyiro walijikosesha fursa ya ukemeaji kwa kuwa walinyanyaswa na mtandao. Sasa wakaanza kuonyesha hasira zao na hadi hivi sasa wana hasira wanakosa objectivity!
 
Sidhani kama MN Foundation ipo imara kama ilivyosemwa. Sometime back we used to hear or watch a number of activities done by the Mwalimu Nyerere Foundation but nowadays Mh Mh hata Joseph hasikiki.
 
Sidhani kama MN Foundation ipo imara kama ilivyosemwa. Sometime back we used to hear or watch a number of activities done by the Mwalimu Nyerere Foundation but nowadays Mh Mh hata Joseph hasikiki.
Kuna post mzee butiku amenena!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom