alishawahi kutoa kauli kwamba watoto wa shule za kata wanapata mimba tokana na kiherehere chao,waungwana tukajua mtu mzima alipitiwa na kuchukulia kama bahati mbaya,jana tena kwenye kampeni zake kaishiwa busara na kusema wanaopata ukimwi pia ni kiherehere chao,huo ni unyanyapaa mkubwa kwa wagonjwa wa ukimwi tokana na kauli yake,ipo wapi busara ya kikwete?