kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
Hivi unadhani waislam wote hawana akili kama wewe na huyo shekhe ubwabwa? kuna ambao tunaishi nao nyumba moja hawapendi huu ujinga hata kuusikia. lakini kwa watu kama nyinyi msio na akili hamtaki kujishughulisha mmekaa na mnataka mupewe kazi maofisini hiyo:nono:
Dhuluma siku zote si yenye kudumu.Nguvu ya uma wa kiislamu sasa hivi ni kubwa sana na watu sasa hivi wanaeelewa na wanafuatilia kila jambo linaloendelea nchini.Propaganda haina nafasi,waulizeni wamiliki wa magazeti wanavyopata hasara kwa habari zao za hovyohovyo.