Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,935
- 29,722
Hata wakilalamika haipo kwenye katiba. Kinacholalamikiwa sasa kiko kwenye katiba. Kuna tofauti kubwa.
Hivyo wakiwa watu wa dini moja wote au wachache wa dini nyingine hakuna atakayelalamika?