Ipo Siku Dar es Salaam itakuwa hivi.

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
17,350
32,987
Wakuu hapa chini ni picha za mji mkuu wa Seoul moja ilipigwa mwaka 1961 ikionesha mto unaopita katikati ya ya mji huo. Wakati huo mji huo ulikuwa mchafu sana kama Msimbazi yetu ya Sasa. Na nyingine ni ya Mwaka huu 2019 ikionesha mto ule ule ukiwa msafi na kuvutia watu wakiwa pembezoni wakila raha.

Screenshot_2019-06-22-17-22-19-466_com.quora.android.jpg

Tuwaombee viongozi wetu wa mkoa na jiji la Dar es Saaam,Mungu awafanyie wepesi sio tu waishinde Dengue fever, kipindupindu na magonjwa mengine ya kudhalilisha utu wetu ila pia waweke mazingira ya mji wetu yawe safi mpaka Nairobians watuonee kijicho. Wote tuseme Amen
 
Tulitakiwa tuwe juu ya hawa bali wahuni, wezi na mafisadi wa maccm ndiyo wametufikisha hapa.


Wakuu hapa chini ni picha za mji mkuu wa Seoul moja ilipigwa mwaka 1961 ikionesha mto unaopita katikati ya ya mji huo. Wakati huo mji huo ulikuwa mchafu sana kama Msimbazi yetu ya Sasa. Na nyingine ni ya Mwaka huu 2019 ikionesha mto ule ule ukiwa msafi na kuvutia watu wakiwa pembezoni wakila raha.

View attachment 1134936
Tuwaombee viongozi wetu wa mkoa na jiji la Dar es Saaam,Mungu awafanyie wepesi sio tu waishinde Dengue fever, kipindupindu na magonjwa mengine ya kudhalilisha utu wetu ila pia waweke mazingira ya mji wetu yawe safi mpaka Nairobians watuonee kijicho. Wote tuseme Amen
 
Umeona hapo seoul wakaz walikua karibu na mto na picha ya sasa mto uko mbali na makazi ya watu yani umejengewa bila shaka walitimuliwa wakazi wa eneo lile tofaut na hapa wakifukuzwa hawaondoki unafkiria lini tutafikia malengo
 
Umeona hapo seoul wakaz walikua karibu na mto na picha ya sasa mto uko mbali na makazi ya watu yani umejengewa bila shaka walitimuliwa wakazi wa eneo lile tofaut na hapa wakifukuzwa hawaondoki unafkiria lini tutafikia malengo
Tatizo wanaondolewaje? Bila fidia inakuwa ngumu kuondoka na pia wakiishaondolewa ujenzi uanze fasta
 
Back
Top Bottom