Ipo Morogoro hii... Dar mnayo?

Ipo Morogoro hii... Dar mnayo?

mkuu hebu tuambie moro ipo kwa wapi?
sie wengine tumezoea pale kaumba
 
Bondeni Hotel (Mapipa)
Msisimko Guest House (.....)

Subiri kwanza naenda ANGAZA mara moja nitarejea...........................
 
Jamani huko Moro wanafaidi. Sijui kwetu Tarime itafika lini hiyo. Naweza kufa kabla ya kufika. Ikifika itakuwa suluhu ya mapanga.
 
Itakuwa ni pale Malima alipoibiwa na changudoa baada ya kula mzigo?
 
Dom kuna lodge ya aina yake, ina taa za ajabu. Ukiwapo lodge kila anayeingia unamwona lakini kama unaingia guest taa zinakufanya usiwatambue watu walioko eneo la lodge. Kuna mlango mmoja wa kuingilia na milango minne ya kutokea. Ipo jirani sana na kaburi la pamoja la wahanga wa treni. Wanaoiba wake za watu wanaijua sana!
 
lodge zimekuwa za zinaa siku hizi sio wageni tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom