Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kuna sehemu moja hapa Moro (waliopo moro wanapafahamu), its a kind of a medium level Lodge, ambapo parking yake ni ya kipekee
Kuna chambers maalum za kuegeshea gari, yaani zimewekewa mapazia. Ukipaki gari yako, huoni iliyoko pembeni yako, na ukitoka tu pazia linashushwa kwa maana kwamba hata ukiingia huwezi soma namba za gari iliyopaki pale. Yupo kijana mahsusi kwa ajili ya kudirect sehemu ya kupak, na ukishatoka anakupa parking lot number ili ukirudi usikosee ukafunua gari isiyo yako
Inaweza kuwa ni staili tu, lakini kiukweli imeipa lodge hii umaarufu sana, na inaonyesha inapendwa sana na watu wanaohitaji faragha za hali ya juu...
Watu wa Dar, kuna kitu kama hiyo? Arusha je, machalii hawajachangamkia huo ubunifu?
Kuna chambers maalum za kuegeshea gari, yaani zimewekewa mapazia. Ukipaki gari yako, huoni iliyoko pembeni yako, na ukitoka tu pazia linashushwa kwa maana kwamba hata ukiingia huwezi soma namba za gari iliyopaki pale. Yupo kijana mahsusi kwa ajili ya kudirect sehemu ya kupak, na ukishatoka anakupa parking lot number ili ukirudi usikosee ukafunua gari isiyo yako
Inaweza kuwa ni staili tu, lakini kiukweli imeipa lodge hii umaarufu sana, na inaonyesha inapendwa sana na watu wanaohitaji faragha za hali ya juu...
Watu wa Dar, kuna kitu kama hiyo? Arusha je, machalii hawajachangamkia huo ubunifu?