Kutapeliwa ni ile hali ya kitu chako kuchukuliwa kwa njia ya udanganyifu huku ukitoa ushirikiano.
Wakati kuibiwa ni ile hali kitu chako kinachukuliwa bila wewe kujua,unaweza kuja kujua baadae Sana.
Kuibiwa ni kuchukuliwa kitu chako bila hiari yako. Mara nyingi bila ruhusa yako na huenda kikachukuliwa ukiwa haupo/hujaona. Mara nyingi mhalifu huonekana kutumia nguvu nyingi kuliko akili.
Utapeli ni kuchukuliwa kitu chako kwa hiari yako, ukiwa umedhamilia na unakitoa kwa mikono miwili na moyo mkunjufu. Wewe uliechukuliwa ndyo unaonekana lofa na aliyekuchukulia haonekani kutumia akili nyingi kuliko nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.