Ipi starehe yako?

The Messenger

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
1,523
Reaction score
812
Kwa heshima naomba kuwasalimu nyote kwa imani yako, kabila lako, umri wako na cheo pia...

Baada ya salamu naomba kushare na ninyi kama heading inavyojieleza hapo... Nimekaa hapa EXPERIENCE PUB nikipata vyombo, nikaona sio mbaya nikiwauliza na ninyi wana JF "ni ipi haswa starehe yako"

Nataka niachane na pombe... ilaa NOOO! Serikali itakosa mapato maana kwenye mahari hamna VAT ningechangia kupitia njia iyo... sasa ndugu zangu embu niambieni ili niangalie kama ntaweza ku-divert otherwise niendelee kulipa kodi kupitia TBL


Thanks in advance
Jerrymalisa
 
Kila kitu ni starehe kutokana na kuhitajika wake.

Wengi wanashindwa kutofautisha addiction na starehe, hivyo huishia kuita addiction starehe.
Damn it... kumbe naweza kua addicted eenh! I must see a physician
 
Hebu ngoja hapa niwe msomaji wa michango
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…