Ipi Samsung nzuri zaidi katika Samsung Note Series?

Robbykan

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2015
Posts
509
Reaction score
470
Heshima kwenu wakuu,

Naombeni ushauri, ni simu gani ya Samsung Note series ni nzuri kwa matumizi hasa hasa ukizingatia uwezo wa betri pamoja na RAM. Kuna mtu kaniambia nichukue Samsung Galaxy Note 8. Naombeni experience kwa yeyote aliyewahi kuitumia hiyo simu au ushauri tu utakaonisaidia kununua simu ya Samsung nzuri. Nataka nihamie Samsung maana toka nianze kutumia smartphone nimekuwa mteja mzuri wa Tecno. nataka niwahame maana hizi simu life span yake ni fupi.


Kindly help me.

MAONI YA MDAU:

 
Asanteni sana wakuu ngoja nione ipi itakuwa kwenye uwezo wangu maana bajet yangu ni Tsh 800,000 automatically hiyo note 10 siwezi kuafford.
 
Asanteni sana wakuu ngoja nione ipi itakuwa kwenye uwezo wangu maana bajet yangu ni Tsh 800,000 automatically hiyo note 10 siwezi kuafford.
Kwa bajeti yako utapata note 8 na nauli inabaki
 
the latest one, but do you got what it takes to have one?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…