Ipi ni Shule nzuri za wasichana Mbeya au Iringa ?

Ipi ni Shule nzuri za wasichana Mbeya au Iringa ?

c4rl05

Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
21
Reaction score
1
Wadau naomba mnisaidie majina ya shule nzuri za girls kwenye hyo mikoa tajwa hapo juu, nina mwanangu nataka nimepeleke moja ya hyo mikoa kwa in urahisi wa maisha ya familia
 
Betheli ipo vizuri
Ipo mafinga
St Getrude Imiliwaha ipo Njombe
Mbeya St Francis
 
Ana uwezo wa wastani, st. Francis competition ni kubwa
 
Bethel subs!! Thought wanaanza na pre form 1
 
Mpeleke Bethel ipo Mafinga au Spring valley ipo Iringa mjini, kwa Mbeya ni st Francis ndo nzuri
 
Ana uwezo wa wastani, st. Francis competition ni kubwa

Sure, ile shule pia wana masharti sana...kama huna ndugu Mbeya mwanao anakosa nafasi. Na hawana special diet kwa watoto wagonjwa.mf mwenye ulcers. Mdogo wetu tulishindwa kumpeleka
 
Mperekee Brooke Bond ni primary n secondary school mtt atatokaaa ameivaa vzr mimi mdogo wngu kasoma pale kuanzia std 2 November hii ndioo anafanya mitian ya ku graduate form four iko mufindiii wanajal watoto na iko porin kamwe mwanaooo hawez kua mpgaj kwa maana iko mistun na hatojuaaa yanayoendeleaa dunian mpakaaa holiday na holiday ila unakua na mawasiliano nae via walimu na matrons wao
 
Mperekee Brooke Bond ni primary n secondary school mtt atatokaaa ameivaa vzr mimi mdogo wngu kasoma pale kuanzia std 2 November hii ndioo anafanya mitian ya ku graduate form four iko mufindiii wanajal watoto na iko porin kamwe mwanaooo hawez kua mpgaj kwa maana iko mistun na hatojuaaa yanayoendeleaa dunian mpakaaa holiday na holiday ila unakua na mawasiliano nae via walimu na matrons wao

Hii ipo maeneo gani miuu kama nataka kwenda kuchukua fomu
 
Back
Top Bottom