Ipi ni dawa ya wivu?

Habari za mida hii wakuu
Naombeni mnisaidie njia za kumfanya huyu mtu aachane na hii tabia...nimechoka asee
sasa ukimwacha si atakufa na "Kihoro"??



Ameona pm za nani?
 
Dawa kiboko ya wivu ni dharau na kiburi nilikuwa na wivu sana kwa felister nilivyogundua kuwa amenidharau na anakiburi kwangu nikaacha wivu taratibu mwisho na penzi likafa
huyu unayemsema bilashaka namjua..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…