Makabila nchini yako zaidi ya 120!!kwa nini uwasemee hawa tu!!Dhambi ya ukabila nayo itatuua
mchagua jembe si mkulima. Hakuna muoaji hapo.
Hata muuliza swali mwenyewe kauliza swali general sana. You must be specific unaongelea combination in terms of what?? Hivi karne hii bado tunaongelea masuala ya makabila. Mimi ni mtu wa kusini lakini mke wangu ni mbulu. Wakati natafuta mchumba nilikuwa siangalii upuuzi wa combination. Nilichozingatia ni mapenzi yangu kwake na yake kwangu, full stop! Mpaka leo ni mwaka wa nane ndoa yetu inadunda kama kawa! Mwenzangu anakula vya kusini nami nakula vya kaskazini, raha ilioje!
hukunielewa mkuu nadhani umekurupuka kuongelea ndoa yako kuliko kuielewa post yangu nilisema masuala ya Tabia na mambo yasiwe considerd, anyway ni mawazo yako nitayafanyia filtration..... sina ukabila nilichosema hayo makabila nayahusudu hata kama nikitangaza nia ya kuoa ipi itakua combination nzuri?...
Wemskuma mwenzangu vipi chagola ngocha oyo ontokwile. lakini lolo hange olenabho badato olenakazi ngoi hamo osole akamoshi, ila akatanga bwokoshiheja na ak dakama natadebhile lolaga nanho lakini kamoshi tochoji
Hello wapenzi wa forum hii.
Nilikuwa nauliza swali na nina imani nitasaidiwa, mimi kabila langu ni msukuma , na nimekua nikivutiwa sana na makabila ya wanyakyusa, wapare, wasambaa, Je kama siku nikitaka kutangaza nia yakutaka kuoa, combination ipi itaendana na mimi?..
Suala la tabia na mambo mengine naomba yasiwe considered ninachotaka kuuliza kwenu ni comination ipi nzuri? Ikiwezekana toa na sababu
Msukuma vs Mpare?
Msukuma vs Mnyakyusa?
Msukuma vs Msambaa?
Msukuma vs Mnyakyusa ni nice combination, mtoto atatoka bomba, wote ni wachapakazi, so maisha hayatawapiga chenga.
sina mchumba na hujanielewavzuri kwenye thread yangu, nimeuliza ipi combination nzuri kati ya hayo makabila matatu maana yote hayo nayahusudu saana