luckers
Member
- Jan 6, 2013
- 64
- 2
habari
ndg
naomba kupewa msaada apa wakuu naitaji kwenda kusoma form v nimepata Hst c geo d math c engl b kiswahil b civics c biology d nilikua nadhani kuwa HGE iko sawa ila nikaona niwasilishe kwa wadau kwanza mnipe mawazo na nini cha kufanya hasa tukiangalia swala la ajira na fact za chuo kikuu
asanten
nawasilisha kwenu ndg
ndg
naomba kupewa msaada apa wakuu naitaji kwenda kusoma form v nimepata Hst c geo d math c engl b kiswahil b civics c biology d nilikua nadhani kuwa HGE iko sawa ila nikaona niwasilishe kwa wadau kwanza mnipe mawazo na nini cha kufanya hasa tukiangalia swala la ajira na fact za chuo kikuu
asanten
nawasilisha kwenu ndg