Habari zenu wadau...,Lengo la huu uzi nikujulishana na kushare the Best ringtone,au ka (Wimbo) kwenye simu, uliyoiseti ambapo ukipigiwa unatamani uache kawimbo kaite kwa muda kidogo then ndo upokee..,
Habari zenu wadau...,Lengo la huu uzi nikujulishana na kushare the Best ringtone,au ka (Wimbo) kwenye simu, uliyoiseti ambapo ukipigiwa unatamani uache kawimbo kaite kwa muda kidogo then ndo upokee..,
Uwiii umenikumbusha mbali Mkuu na huo wimbo wa The game ft 50 Cent. Kipindi hicho nyimbo za G unit ndio zinatamba kwenye vituo vya redio ππππ