Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,532
Habari za wakati huu;
Tunapoelekea kufanya uamuzi iwapo John Magufuli anafaa kupewa miaka mitano hebu tuitazame historia yake katika masuala ya Jinsi na Jinsia hasa mtazamo na misimamo yake kwa wanawake.
Swali la kujiuliza ni ipi nafasi ya wanawake katika UTAWALA wa Rais Magufuli? Je, hali na nafasi za wanawake zimekuwa BORA kwa kiasi gani katika KIPINDI cha MIAKA 5 hasi katika haki zao, fursa, usawa na uwezeshaji wa kiuchumi?
Je, wanawake wakifanya maamuzi kwa kuzingatia utendaji wake kwa miaka 5 anastahili kupewa Tano?
Mimi binafsi nafikiri hatapewa kura na wanawake hasa ukizingatia kauli zake kadhaa dhidi ya wanawake na namna anavyowachukulia. Tumjadili hapa tujue kama anastahili kupewa tano tena na wanawake
Tunapoelekea kufanya uamuzi iwapo John Magufuli anafaa kupewa miaka mitano hebu tuitazame historia yake katika masuala ya Jinsi na Jinsia hasa mtazamo na misimamo yake kwa wanawake.
Swali la kujiuliza ni ipi nafasi ya wanawake katika UTAWALA wa Rais Magufuli? Je, hali na nafasi za wanawake zimekuwa BORA kwa kiasi gani katika KIPINDI cha MIAKA 5 hasi katika haki zao, fursa, usawa na uwezeshaji wa kiuchumi?
Je, wanawake wakifanya maamuzi kwa kuzingatia utendaji wake kwa miaka 5 anastahili kupewa Tano?
Mimi binafsi nafikiri hatapewa kura na wanawake hasa ukizingatia kauli zake kadhaa dhidi ya wanawake na namna anavyowachukulia. Tumjadili hapa tujue kama anastahili kupewa tano tena na wanawake