mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 955
Sijawahi kusikia laha ya tendo la ndoa zaidi ya maumivu. Naona watu wanahonga na kuhongwa pesa kwa ajili ya tendo hilo.
Natamani kushare na nyinyi kwa maandishi tena kwa kutumia lugha yenye staha raha yake ipoje?
Natamani kushare na nyinyi kwa maandishi tena kwa kutumia lugha yenye staha raha yake ipoje?