Kwa nijuavyo Mimi
Be forward, Sbt, Enhance n.k
Wanauza magaei kulingana na 'mfuko' wako mteja jinsi ulivyo
Ukiingia kwenye site zao, kuna sehemu huwa wana magari 'premium' hayo ndio unakuta yanakua na gharama kubwa, yet kiwango cha ubora cha juu zaidi.
Kwahiyo, kwa mtazamo wangu, ni kwamba wote wako vyema, ni suala la wewe na budget yako na gari unayoihitaji.
Aidha, unaweza kuja ofisini kwetu ukishafikia uamuzi. Sisi tunakuletea gari uliyochagua kwa malipo ya awamu -awamu ya hadi miezi saba.
Mfano, kama labda umechagua IST
Unatupatia unatupatia stock id yake
Tunapiga hesabu zote kwa pamoja sisi na wewe
Madharani ni ist sema 12m ya gharama zote unalipia 9,000,000
Gari ikifika, unakabidhiwa
3,000,000 iliyobkia unamalizoa kwa instalment
Yani kila mwezi 429,000
For 7 months period.
Karibu ofisini!
Sent using
Jamii Forums mobile app