Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Condoms,zipo za aina nyingi sana.
Zipo za sh.100,200,500,1000,2500 etc.
Wengi tuna zitambua kwa bei zake,lakini ni kweli kwamba zote zina kusudio
moja (kukukinga na STDS na Mimba?)kwanini zinauzwa bei tofauti?
Wewe,kibongo bongo una pendelea condom zipi?
Mwenzi wako ana zifurahia,hazimdhuru?
Mimi napendelea Rough Rider,ni ghali,lakini ni salama,hazi pasuki kwa urahisi
kama Dume condoms zilizo fanya nikapata mtoto.
Unapendelea zipi?
Na kama hupendi condoms,option zako ni zipi?Je ni salama?
Zipo za sh.100,200,500,1000,2500 etc.
Wengi tuna zitambua kwa bei zake,lakini ni kweli kwamba zote zina kusudio
moja (kukukinga na STDS na Mimba?)kwanini zinauzwa bei tofauti?
Wewe,kibongo bongo una pendelea condom zipi?
Mwenzi wako ana zifurahia,hazimdhuru?
Mimi napendelea Rough Rider,ni ghali,lakini ni salama,hazi pasuki kwa urahisi
kama Dume condoms zilizo fanya nikapata mtoto.
Unapendelea zipi?
Na kama hupendi condoms,option zako ni zipi?Je ni salama?