Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,826
- 90,233
- Thread starter
- #21
Ndugu mwandishi sijui kama umekosea au umeandika mskusudikale....ni ZANA sio DHANA
upo sahihi Khantwe, hujambo lakini?
Ndugu mwandishi sijui kama umekosea au umeandika mskusudikale....ni ZANA sio DHANA
Wewe ni takataka huna faida.
Sijambo, habari ya weweupo sahihi Khantwe, hujambo lakini?
Sijambo, habari ya wewe
Faida yako unaijua wewe, lakini kama wewe huijui maana yake hujitambui, ndio nikakwambia usipotuliza akili ukajitambua unaweza kuolewa.Ipi faida yangu, ungepaswa ujibu swali? hayo ya ushoga achana nayo
Faida yako unaijua wewe, lakini kama wewe huijui maana yake hujitambui, ndio nikakwambia usipotuliza akili ukajitambua unaweza kuolewa.
Maana wale watakwambia hiyo ndiyo thamani yako na utakubali kuolewa.
Endelea kutuuliza thamani yako sisi wapo watakao kuita PM, bora sisi tunaokukanya hadharani.
Hahaha kijana unaakili timamu utashindwaji kujielewana kuelewa thamani yako?!Hahhaahahhaah....Ila wewe dah
Sana.. nashukuru kusikia uko mzimaNipo Poah, muda sasa mrembo
Hahaha kijana unaakili timamu utashindwaji kujielewana kuelewa thamani yako?!
Mtu wa hivyo maana yake anafanyiwa maamuzi na wenzake, sasa hapo ndio nikasema asipotuliza akili na kujitambua anaweza kugeuzwa mchicha.
Sana.. nashukuru kusikia uko mzima
Haha watapita wengi ila tulioelewa lengo la Uzi huu ni wachache kati ya maelfu😀
Faida yako unavuta oxygen na kutoa carbondioxide ambayo inausaidia mmea katika swala zima la kujitengenezea chakula chake (photosynthesis) [6CO2 + 6H2O= C6H12O6 + 6O2].
Hapo PCM imekutana na HKL lazima ikae na wanachoshindwa kuelewa sio lazima kutoa maoni kupita kimya pia ni mchango mkubwaHata wajinga wanayo haki Mkuu, kuna mmoja hapo kadandia gari naona linamburuta. Yeye akiona kila maandishi anadhani anayaelewa
Hapo PCM imekutana na HKL lazima ikae na wanachoshindwa kuelewa sio lazima kutoa maoni kupita kimya pia ni mchango mkubwa
Teh nina kwetu kwingi mimi ujue, sasa hivi nipo kwetu pia ila sio kuleMwezi wa tisa nitakuwa huko kwenu
Teh nina kwetu kwingi mimi ujue, sasa hivi nipo kwetu pia ila sio kule
SawaaNitakujia kwa simu kwanza, haina shida