Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,383
Sijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anakaa nyumba ya kupanga.
Maisha ni kuchagua.Sijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anakaa nyumba ya kupanga.
Sijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anakaa nyumba ya kupanga.
Naamini hujajumuisha gharama za kiwanja.Nyumba ya 1M hiyoView attachment 1110382
Wee embu tukome 😀 😀Wafipa hao halafu wanasema kuwa maisha ya sasa ni magumu bora enzi za ukoloni
Maisha si kujenga nyumba, hiyo ni dhana mbofu mbofu ya waafrika - hapa duniani unaishi miaka isiyozidi 70 kama una bahati - sasa huo mjumbaa mkubwa unamjengea nani brasa??Sijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anaikaa nyumba ya kupanga.
Acha wivu wewe tafuta pesaaSijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anakaa nyumba ya kupanga.
Hongera mkuu.Nyumba ndo kila kitu, juzi nimepata M. 20 sehemu, yote nimemalizia Nyumba yangu nyingine, HP madalali washaanza kuniletea wapangaji wa Chumba efu 80 kwa mwezi, nna vyumba vitano vyote vya master full tiles,, maisha yanaenda naila kidogokidogo sent yangu
Huwezi kumuelewa kwasababu ni wewe. Kila mtu na priorities zake. Kwani hio 1m unaweza kununua nyumba au ndio asinunue simu nzuri mpaka ajenge?!! Live and let live.Sijawahi kumuelewa mtu mwenye iPhone ya 1M+ anakaa nyumba ya kupanga.