Iphone 7 balaa

Iphone 7 balaa

Una uhakika na unachokiongea au unatimiza wajibu , android ipi uliyotumia ikawa inafanya hivyo....au ndio Yale Yale hata task ya simu yako hujui inapatikanaje.
nilkua sijui task manager ya iphone sio pumba unazoziongea mm niltumia samsung trend na nilkua nikifungua miapps mingi inaanza stack au kama sibyo waulize watumiaji wa tecno pumba ww
 
Niliwahi kua na Iphone3gs ilikua na 16gb nilikua na album 9 za miziki vitabu vingi sana lakini haikuwahi kujaa sasa 128gb kujaza kwa vitabu hata ukiwa na vitabu vya mb 50, 200 haiwezekani kujaa...
 
Iphone yang inatatizo la kuzima na kuwasha na wakat mwingine ina display rangi nyekundu kwa kioo

Ina tatizo gani kwa wazoefu wa izi sim na nini cha kufanya
 
Iphone yang inatatizo la kuzima na kuwasha na wakat mwingine ina display rangi nyekundu kwa kioo

Ina tatizo gani kwa wazoefu wa izi sim na nini cha kufanya

Inajizima na kujiwasha yenyewe
 
kwenye suala la kudownload video ndo hua pagumu kdogo ila kwenye swala la music natumia UC BROWSER natafuta music yoyot nayotaka then nakua kama nadownload itaanza kuuplay wimbo direct then kwa mfano ukishamalza kuplay naclick menu ya uc browser then then utaona my music ingia hapo then chagua history utakuta nyimbo zako zote ambazo ulshawah kuzplay ilmrad tu kama kpnd unauplay wimbo uliuacha uload full bas utaeeza kuuplay anytime
hapo bila hata internet utakua unakula music tu kwa videos mwenye tricks zake wakuu

Asante ngoja niijaribu
 
iphone-7-rumored-image.PNG


iPhone 7 conspiracy theories are flooding the internet since the release of the iPhone 6s and iPhone 6s Plus. The latest rumor regarding the next generation of the phone includes possible release dates in 2016.

According to PC Advisor, Apple will likely stick to its pattern of a fall release for the new model. The United Kingdom-based technology site reported that Tuesday September 9 or Tuesday September 16 are highly possible for the phone's release date across the pond. While the site doesn't specifically mention the United States release date, Apple released the iPhone 6s in the United States and the UK on the same day.
Among other recent rumors are about the iPhone 7 are that an A10 chip said to be included in the phone. According to Geek.com, Apple has begun placing orders for parts for the iPhone 7. Among the parts is the A10 chip (SoC) that is the heart of the smartphone. Taiwan Semiconductor Manufacturing Company (TSMC) has allegedly secured an exclusive supply contract for the A10 chip, which features rumored dimensions at 16nm. Geek.com also reported that TSMC is contracted to start volume production of the A10 chip beginning in March 2016.
The size of the iPhone 7 has also been leaked. The phone is said to be much thinner than the current 6s model. The size of the iPhone 7 could be less than 6.5mm, comparable to the super thin frame of the iPod Touch . The iPhone 7 is also rumored to be manufactured with most of the specs included in the iPhone 6s but the phone may be built without 4K.
Ishatoka mbn ni mil 3 na ushee
 
Hizi simu sijawahi kuzipenda sijui kwanini naiona sio user friendly ,uhangaike na Itunes ,Bluetooth yake sijui ina kazi gani ,Shape zake kuanzia Iphone 5 kurudi nyuma hazinivutii

Labda hii 7 itakua tofauti
 
Kama unataka more space jiunge na google drive, Dropbox au one drive na uhifadhi vitu vyako huko
Kwa mtu anayejali efficiency, security, cost na cobtrol hizo online services si solution zuri kama unaweza juwa na solution la sd card.

Suppose umeweka mafaili yako kweny hizo services, halafu umefika sehemu huna access na mtandao na ma file yako yako huko, utafanyaje?
 
Back
Top Bottom