Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
That is not the question, sijauliza kama wewe ni fan wa removable battery au SD card.
Umejibu swali ambalo hujaulizwa, lililoulizwa hujajibu.
And what was your question?
That is not the question, sijauliza kama wewe ni fan wa removable battery au SD card.
Umejibu swali ambalo hujaulizwa, lililoulizwa hujajibu.
And what was your question?
mtarushiana maneno kisa apple, mara sd haitoshi. kikubwa tafuta ambayo inatosha kwa vitabu vyako sio utangze kila 1 ajue
na ndo maana wakasema simu hawajadili laptops or tablets hayo mengne utajua mwenyewe utavitunzia wapi hvy vitabu
Pia team huawei tupo nadhani team tecno ndo badoSiku si nyingi kutakuwa na team samsung,team iphone,team htc......
Hivi wakuu kwenye iphone yenye ios 9.2 ni wap unabonyeza ili ilete program ulzoztumia mda huo kama kwenye android kenye android ukishkilia home button kwa mda inavyoleta program opened recentlty kwa chini ram used per ram remained
kwa mfano kwenye android huwa hivi
View attachment 314289
thanks mkuu mpaka nimeshangaa nimekuta task nyingi kinoma kwel apple wako vizuri nimekuta kama ishirin hv android hapo ingeshastack mapemaaaDouble Home button itakupa page zote ulizofungua kwa muda wa siku saba.
kwenye suala la kudownload video ndo hua pagumu kdogo ila kwenye swala la music natumia UC BROWSER natafuta music yoyot nayotaka then nakua kama nadownload itaanza kuuplay wimbo direct then kwa mfano ukishamalza kuplay naclick menu ya uc browser then then utaona my music ingia hapo then chagua history utakuta nyimbo zako zote ambazo ulshawah kuzplay ilmrad tu kama kpnd unauplay wimbo uliuacha uload full bas utaeeza kuuplay anytimeHizi iphone sizielew tu hasa kwenye suala la kudownload music na video
Too general that means SAMSUNG ZOTE NI MBAYA?hamia nilipo mie ukiweza ona hizi emoji utajua niko wapi.....Nilikua nazipenda sana Samsung lakini kwa zilichonifanyia sina hamu nazo tena.
Sasa hivi nitahamia kwenye HTC na iPhone.....maana hakuna namna tena.
emoji zipo wap hazionekaniToo general that means SAMSUNG ZOTE NI MBAYA?hamia nilipo mie ukiweza ona hizi emoji utajua niko wapi.....
Watakuja tu na ubunifu mpya hawatakubali kuachwaCHIEF MKWAWA
Hii simu naisubili sana nasikia ni hatari sana je sumsung wataweza kushindana kibiashahara baada ya hawa iphone kutoa hii simu
Au ilikuumbua kwa babe wakati wewe unaamini uko salamaSitaki hata kukisema mkuu maana machungu yatazidi!
Nimeamua kufanya maamuzi magumu ya kuwahama.
Una uhakika na unachokiongea au unatimiza wajibu , android ipi uliyotumia ikawa inafanya hivyo....au ndio Yale Yale hata task ya simu yako hujui inapatikanaje.thanks mkuu mpaka nimeshangaa nimekuta task nyingi kinoma kwel apple wako vizuri nimekuta kama ishirin hv android hapo ingeshastack mapemaaa
god bless u mkuu