iphone 18 promax
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,917
- 2,142
Jamani ni lini itakuja hii simu nasikia ni hatari vibaya kuliko hata hawa sumsung
Jamani ni lini itakuja hii simu nasikia ni hatari vibaya kuliko hata hawa sumsung
Wewe ---- nin?
CHIEF MKWAWAInatoka september 2016
CHIEF MKWAWA
Hii simu naisubili sana nasikia ni hatari sana je sumsung wataweza kushindana kibiashahara baada ya hawa iphone kutoa hii simu
Haijajulikana itakuwaje, iphone 6s ndio imetoka juzi tu hivyo ni mapema sana kusema lolote
ngoja tuisubiri sisi wa 3rd world countries
Nilikua nazipenda sana Samsung lakini kwa zilichonifanyia sina hamu nazo tena.
Sasa hivi nitahamia kwenye HTC na iPhone.....maana hakuna namna tena.
Jamani ni lini itakuja hii simu nasikia ni hatari vibaya kuliko hata hawa sumsung
Nilikua nazipenda sana Samsung lakini kwa zilichonifanyia sina hamu nazo tena.
Sasa hivi nitahamia kwenye HTC na iPhone.....maana hakuna namna tena.