IPhone 13 camera hamna kitu

iPhone zaidi ya vile vi filter vya I miss you hawana lolote
hata wakina infinix wanawachapa
 
s22 itoe hapo haipo league yoyote na hao wote wadogo zake.

weka s21
 
s22 itoe hapo haipo league yoyote na hao wote wadogo zake.

weka s21

Tukisema camera bora hatuangalii picha tu si na videos pia, ndg yetu kikubwa tunaangalia consistency ya performance...call me isheep sawa ila huwez sema kuwa kitu fulan ni bora kwa kuzingatia criteria kadhaa na sio zote
 
Mkuu hakuna iPhone yenye mega pexel zaidi ya 12.. Camera bora nado ni Google pexel na Samsung tu. Mm nafanya biaharaya simu nazielewa vzr.

Pixels hizo si specs on paper mbona android wana hadi 108 Mp halafu hamna ajabu
 
Tukisema camera bora hatuangalii picha tu si na videos pia, ndg yetu kikubwa tunaangalia consistency ya performance...call me isheep sawa ila huwez sema kuwa kitu fulan ni bora kwa kuzingatia criteria kadhaa na sio zote
sasa hapa ulitaka kuzungumzia kipi??

maana hiyo s21 ina camera bora kuizidi hiyo 13pro max,isipokuwa video tu.

kama utachukua vigezo vya jumla video sio jukumu la awali la msingi katika camera ya simu.
 
Pixels hizo si specs on paper mbona android wana hadi 108 Mp halafu hamna ajabu
sio kila android ina 108mp upupu,samsung anayo hii,na tunategemea kuweka kwenye iphone 15 maana zooming inaonekana ni jambo muhimu kuliko pale calfornia wanavyowaza.

maana hata reflesh rate ilionekana haina maana mpaka apple waliposhtuka baada ya kuiona kwa samsung.
 
Uvi unaangaliaga side by side comparison kwel ww
 
Acha wivu kaka, apo mpinzani pekee ni pixel ila hao wote ni bure, yani unaweka adi Xiaomi

Watu wengi wanaoziponda apple hawajawah zitumia
 
Acha zako, walioanza kutoa refresh rate kubwa kwa flagship ni oneplus 7 pro ww
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…