IPhone 13 camera hamna kitu

Iphone ni the best kwenye Camera upande wa video.

Video zake zipo clear zana hakuna android anasogea.

Ila tukija kwenye picha kuna simu nyingi sana naweza kukutajia ambazo zinaweza kumgaragaza.
 
Hahahah Dah kuna mwangangu ana Google pixel 3.

Simu ina camera nzuri sana.

Soon na mimi nitachukua Google Pixel 4.

Pixel 5 walizingua kuweka midrange SoC.
 


We ndio bonge la mshamba hizi ni picha mbili tofauti kwa maelezo yako?? huoni ya chini wamei-crop miguuni. anyways Iphone 13pro inaweza isiwe sawa na note8 ila argument zako zinaonesha ulivyo na upofu kwa mahaba ya mitandaoni
 
Angalia height kutoka roof na vichwa vya focal points zinafanana?
Dhumuni la hiyo picha ni kukuonesha Tu zile pcha nilizotuma huwa zinapigwaje, hapo nimekuonesha kifaa kinachotumika kuwekea hizo simu ili zitoe picha pamoja yenye pozi moja, wewe ulisema zile pcha zimeeditiwa kwa kuwa zote zina pozi moja. Nikutoe ushamba kidogo,
 
Mkuu tufanye umeshinda
 
Kama hii picha inasema kweli, heshima yake samsung.
 
Sijawahi igusa note 8, lakini i8 plus nimetumia. Iphone 8 plus ana camera nzur mno hasa ktk sehemu ambapo kuna mwanga tayari, lakini maeneo yanayohitaji flash, bado hajakaa sawa.
 
View attachment 2120921

We ndio bonge la mshamba hizi ni picha mbili tofauti kwa maelezo yako?? huoni ya chini wamei-crop miguuni. anyways Iphone 13pro inaweza isiwe sawa na note8 ila argument zako zinaonesha ulivyo na upofu kwa mahaba ya mitandaoni

YAANI ULICHOONGEA HAPA NDIO UNAONYESHA KUWA BONGE LA MSHAMBA HIYO PICHA MOJA CAMERA NI MBILI TOFAUTI KILA SIMU INACHUKUA IMAGE TOFAUTI, WEWE JAMAA NI MNYASA SIJAONA AARGH!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…