Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Wakuu mambo vipii
Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha ipi inatoa picha Kal kulko mwenzie na ni ipi performance yake ni nzur kwa matumiz ya Mtanzania.
NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.
TUHESHIMIANE GUYS.
Naombeni mnisaidie majibu kwa wale ambao wameshatumia sim hizi zote mbili,nataka nijue kutoka kwenu sim ipi ni bora kati ya iPhone 12 plain na iPhone 11pro, kuanzia kwenye picha ipi inatoa picha Kal kulko mwenzie na ni ipi performance yake ni nzur kwa matumiz ya Mtanzania.
NB: KISWAHILI KIELEWEKE SIJAULIZA KUHUSU ANDROID SO SITAKI COMMENT ZA OOH ANDROID FLAN NI NOMA SIJUI NINI NI NINI.
TUHESHIMIANE GUYS.