Ipe sentence picha hii

Ipe sentence picha hii

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,632
upload_2017-6-24_4-24-14.png
 
Jamaa anaongozwa na BASHITE kwa hiyo anataka WATOTO WA KIKE wote wawe kama MTOTO WAKE BASHITE


Swissme
Wewe naye acha chuki na viongozi wako, kama umekosa bahati basi lia na Mungu wako, sio kila kukicha we na bashite tu utadhani alikataa kukugegeda! We kwa Akili yako watoto wa kibongo uwaruhusu kusoma huku wanangonoka, unadhani darasa litatoa Elimu kweli? Na kama unawahurumia si ujenge shule binafsi kwa wazazi wote waliojazwa mimba shuleni! Sio kuharibu fedha za umma hapa!!
 
Hizi mvi za ukoo, nina miaka 35 tu siko tayari kuitwa babuuuuuu........
 
Mshezi sana wewe!!!!Kwani hujasikia agizo la Rais???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom