Ipe maneno

Ipe maneno

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
3,832
Reaction score
637
Ipe maneno picha hii! IPE MANENO.jpg
 
Ofisi ya anga ya Vasco Da gama/mkweree/jmk/sharobaro/kiongozi wa mungiki/mchekacheka ovyo!!
 
Tazameni ndege warukao angani hawalimi na hawapalilii...wanaishi vizuri kula, kushiba na kupendana iweje sisi wenye akili kuliko wao shida zinatuandama na kututesa namna hii (umeme, maji, foleni, huduma za hospitali) utafikiri hatukuumbwa na aliyewaumba hawa ndege.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom