JAMAA HUYU ANAOMBA AALIKWE ILI AONESHE NGUVU ALIZOJAALIWA KUBEBA SCANIA HAYA MWENYE KUTAKA GHARAMA NI NAFUU APEWE KULA TU MBUZI MMOJA NA WALI SHABA MOJA!
Ooyooo mtu kama huyu ni kazi kubwa ni kwenda kula na kwenda msalani na kulala tu lakini wazo la mke ni tafauti kati ya mbengu na ardhi na hata hicho kipisi cha sigara huwa hakipo ni yupo yupo tu kama usiku wa kiiza