Ipe maneno picha yangu ya zamani

Dogo anawaza akirejea nyumbani atakavyokumbana na kichapo cha Mama wa kambo.

394225_227181194077793_428967895_n.jpg
mkuu siku hizi mama wa kambo si wakatili!!!!
 
Unaweza kukuta hajala hapo.. Ana njaa na home hapaeleweki.. Wakati wengine muda huo wapo chekechea wanapata elimu kwa gharama yake..! Ninaomba sana Mungu amjalie huyo na acimpe roho ya kulipa kisasi..!
 
Kwa Tanzania ya sasa hivi, asitegemee lolote. Mfumo uliopo Tanzania kwa sasa haumpi nafasi hata kidogo. Ingekuwa enzi za 'Tanganyika' ambapo kila mtu alikuwa na fursa sawa, angekuwa na matumaini. Akijitahidi sana, ataenda shule ya msingi ambayo iko chini ya mti wa mwembe...kisha akijitahidi sana ataingia sekondari ya kata ambayo haina walimu, haina maabara wala vitabu...baaada ya hapo ni kuoa, kuzaa watoto kama 7 hv ambao nao hawataweza kufika hata darasa la 7. Akiwa mjanja saana, ataishia kuwa machinga katika mojawapo ya miji ta TZ. KWA KIFUPI ANAWAZA KWANI AHERA KUENDEKI DUNIA HAIKALIKI...NI MFADHAIKO MKUBWA WA MAISHA!
 
mimi huwa najisikia huzuni sana nikiona picha za watoto ktk style kama hizi dah! M/MUNGU amjaalie afya kijana huyu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom