Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,409
- 6,555
Jk na Mbowe huku Mamvi na Bilal, unahisi wanazungumza nini??
View attachment 209426
View attachment 209426
Mamvi: Jimboni kwangu kuna kisima kinahitaji kuzinduliwa, vipi lini uko fit kuja?
Dinho: Unauliza ndevu kwa Osama, anytime we nishtue tu nitakuja, tena hata msiandae mkasi maana ninao wangu spesho wa kufanyia uzinduzi tu...
Picha huzungumza zaidi...
Alichakachua nini ?