iOS is much better than Android

iOS is much better than Android

I was suffering from using Android phone and tablet, after installing many apps and require synchronization of data in real time, the android system always lag/slow down.
Sometimes it gets hanged need to force reboot/reset.

I started using iPad mini 3 weeks ago and my experience is superb, no complaint at all, very fast, problems in android do not occur in iOS,
iOS apps are of good quality, many are free too.

I would like to say, iOS is much better than android.
...Have you installed those "many apps" in your iOS as well?
 
Hivi jaman ukiwa na galaxy 3min mtu anaweza kuku track akawa anasikiliz simu unazopigiw au kupiga? na kama ipo je hiyo setting inakuwa kw huyo mtu aliye ku track au kwny simu yako na unaitoa vp? Msaada waungwan
 
hata hivyo vifaa vya android, sio google peke yake, manufactures wengine wanatengeneza vifaa vinavyo run android pia, kumbuka android ni OpenSource

kweli mkuu ndio maana sio fair kushindanisha hivo vitu viwili....

ios imetengenezwa kwa specific hardware zao apple watu wanalazimishaga kuweka kwenye pc lakini unaona inakuwa inarun vibaya....
hapa ubishi unaletwa tu na mapenzi na matumizi ya vifaa husika...

android open source. ios sio ni sawa mtu ashindanishe windows na linux
 
kweli mkuu ndio maana sio fair kushindanisha hivo vitu viwili....

ios imetengenezwa kwa specific hardware zao apple watu wanalazimishaga kuweka kwenye pc lakini unaona inakuwa inarun vibaya....
hapa ubishi unaletwa tu na mapenzi na matumizi ya vifaa husika...

android open source. ios sio ni sawa mtu ashindanishe windows na linux

yeah, hilo ni kwel kabisa C6
 
IOS
Ubora wa Ois unakuja kwamba watengeneza hardware ndio watengeneza software(ios), wanahakikisha ios inakwenda sambamba kwa specification ya device

Pili ios wana control nzuri ya apps zao huwezi kukuta apps za ajabu ajabu ambazo haziendani na ios

Kwenye updates ios wanataisha, kuanzia iphone 4 anakula updates ya ios 7 sawa na iphone 5s at the same time

Smoothness Ios wanatisha hakuna stucking wala bugs za ajabu sababu wanacontrol kila kitu kabla hakijawa realesed

ANDROID
Android sio Os mbaya isipokuwa inaziwa na ios kwa vipengele tajwa hapo juu

Kuna device zaidi ya 100 zinatumia Android, kila mtengeneza device anakuja na specification zake na kuifanya Android ishindwe kufanya kazi sawa kutoka device moja hadi nyingine ingawaje wanatumia version moja ya Android.

Android kwenye apps wanafujo, yaani kuna matakataka ya kumwaga hadi kero na kwakuwa hayana control nzuri basi yanategemea kufanya kazi vizuri au hovyo kulingana na specification za device husika

Kwenye update Android ndio wapo hovyo kabisa, kwanza watatoa updates kulingana na sehemu wengine mnaweza kusubiri mwaka mzima kuja kupa updates, pia watenegeneza device nao wanatengeneza device ambazo wakatimwingine hazina uwezo wa kupokea updates au kama inazo basi itapokea moja kisha haipati tena

Swala la kustuck kwenye Android ni kama nyumbani vile, na hii inatokana na u open source wake,Wakati mwingine Unakuta device inarun jelly bean ati ina RAM chini ya GB 1

Binafsi nadhani tutainone Android tukiichukulia kwa ujumla katika device zake zote, sijui labda tutafute device moja tulinganishe na iphone zinazo lingana ingawa hata hivyo bado itakuwa shida maana Ois ipo lite na haihitaji specification kubwa kama Android ilivyo nzito inayohitaji RAM kubwa na Processor kubwa

Mtazamo wangu IOS ni nzuri zaidi haswa kwa mtumiaji wa mwisho, ipo classic sana, so smooth, user friendly na inauhakika kwa kile unataka kufanya kwenye simu yako
Android ni nzuri kwa wanaopenda toying na kujifunza mambo,
 
Na sasa kama una hii kitkat tumia runtime ya ART badala ya dalvik uone mziki wake kitu iko stable balaa
 
Na sasa kama una hii kitkat tumia runtime ya ART badala ya dalvik uone mziki wake kitu iko stable balaa

halafu unapata quality mbovu ya video

kitkat imeshindwa kuplay video za 720p kwa 60fps kwenye nexus 7 (ambayo ni powerfull device)
 
Kwanza kabisa Android is boring!!! Kuna kipindi nliskia watu wanaiponda ios kuwa boring kisa eti interface yake ni the same throughout, sasa tangu android ianze mpaka imefika kitkat, UI ni the same. Mimi niliwahi kuchezea S3 yaani mda mfupi tu niliiona kama haina ishu yoyote!! Android ni kama Windows tu katika pc, pc nyingi ni windows lakini in terms of perfomance Mac ni best, ndo vile vile katika mobile platforms, ios ni best so far, tena hii ios7 ndo kiboko.... Kama alivosema chief mkwawa, Android kulag ni nature yake, mi nasema kuwa Lag katika android ni special feature hasa haikosekani.
Then android ilivokuwa bomu sasa, yaani unakuta a device ina octacores, lakini perfomance mbovu kabisa, iphone yenye dual cores ina perform much better kuliko octa. Mi nahisi CPU architecture ni very important, yaweza kuwa una core 50 lakini ikashindwa in terms of perfomance na yenye 2 cores only.... Jambo jengine sasa pia kalisema Chief apo, android devices zipo nyingi sana, tena sana, hii ni disadvantage... Halafu bana wachina ni zaidi ya viboko, china mobile wanatoa S4, with the same quality, na same functionality, same physical appearance (tofauti ya s4 clone na original ni bezels, sasa hizi nazo zinaondolewa) itakuwa ni ngumu kuijua ipi original na ipi feki labda uchek IMEI.... Kitu IOS TU!!

Ai weee mbna wasema nonsense..... Have u ever tried any custom rom like CyanogenMod
 
I would like to say, iOS is much better than android.

Mi si watetei, kwasababu i`m not that of a samsung fan either... as to why wanatoa updates selectively i dont really knw, ila hata apple itunes store yao iko different kutokana na location (just pointing out)...
iTunes Store inaweza kuwa different kutokana na Regions lakini hatuongelei 'application updates', kinachoongelewa hapo ni 'firmware updates'.. Mtumiaji wa iPhone aliyopo marekani na mtumiaji mwingine wa iPhone aliyopo Rombo Mashati, Tz anafanya update over the air kirahisiii!! Sasa twende kwenye Android, kama simu yako ipo na ICS jaribu kufanya OTA updates uone kama haijakwambia 'failed to update' au u are running the latest version of OS. Naelewa watumiaji wa Android wapo wengi lakini ninyi nyote ni mashahidi kuhusu maswala ya Lagging au Crashing, hili sio jambo la uongo au la kubisha, simu inawezakuwa na Octacore na GB 3 RAM ikawa na applications kumi tu lakini ikaStuck. Natumia galaxy note hapa ina QuadCore na 2 GB RAM lakini inaLag si mchezo. Sometimes unaona kabisa simu imezidiwa inakulazimu kuiRestart!! Maranyingi nikitaka kuEdit post zangu za JF, keyboard yake inachelewa kupanda,,

Unaweza kujaza kabisa applications kwenye iPhone ikajaa kabisa ikawa na 10mb free memory, ukafungua applications zote zirun katika backgroud lakini ukiitumia hautaNotice change yoyote, every touch is smooth, every turn is perfect, simu ipo so stable na hapo ikiwa na 1GB RAM!! Sasa twende kuijaza full Android running device alafu ruhusu multiTasking 'apps running on background' uone kama hutozima na kuwasha simu yako after every 5 minutes!!
Hizo specs kubwa sijui Octacore, 3GB RAM ni kama urembo tu, marketing strategy maana kwenye upande we performance delivery, uwezo wa octacore, 3gb ram uliokuwa unaudhania sio huo utakaoExperience!!
 
Note 3 yenye 3gb ram na quad core ya 2 point kitu ghz ina stack. Hakuna os ambayo haina bugs . ila android ina bugs nyingi kutoka free access yakutengeneza app. Ndio maana ina upgrades nyingi saivi kuna 4.4android version kitkat . My recommendation tumia win phone like lumia,and some of htc, eg lumia 520-820 zina 512mb ram n thats all kutokana na os ndo inaitaji iyo n its enough ,
IOS ni secured os , virus free.
Lumia inajiweza pia. And the fastest android devises , usiangalie jina la company likakudanganya . Ila fastest ni HTC one max kubwa kama note 3,S4 ina mambo mengi mdo maana haipo fasta zaidi ya htc one ya kawaida.
 
Back
Top Bottom