Debate itaanza saa nane kamili (14:00, EAT) as per Zomba's request (post #5)Swaafi sana, nigeomba saa saba isogezwe kidogo iwe saa 8, kwani kama InshaAllah hiyo itakuwa ni wakati wa swalaat dhuhr na sisi Waislaam tutakuwa katika mwezi wa kufunga na kuomba maghfira.
Unaweza anzisha mjadala wakati huo lakini tukiwa hai na majaaliwa sitoweza kuwepo on line kabla ya saa saba na nusu, nna uhakika saa 8 kamili itakuwa muafaka kwa wote.
Roulette this is acknowledgement receipt of conformation that i will participate the debate.
Nashukuru kwa hilo nadhani kila mmoja atatoa dukuduku lake haswaaaaaaaaaaaaaaaaa.>....!
Thank you gfsonwin. I think this type of initiative should be encouraged, particularly between members who have different views and opinions but who have so much to share with us. I hope this is just the first of a long series. Let me know when ready so we can facilitate an effective moderation na kutoa post zote za kupoteza mwelekeo wa thread. Pamoja sanathanks Roulette and in fact i was about to post such a request but on different forum. so let me participate on this before coming into my forum
Nauliza kwenye hiyo dabate hakutakua na uwezo wa wasomaji kuchakachua kabla ya walengwa kumaliza kujieleza?
Thank you gfsonwin. I think this type of initiative should be encouraged, particularly between members who have different views and opinions but who have so much to share with us. I hope this is just the first of a long series. Let me know when ready so we can facilitate an effective moderation na kutoa post zote za kupoteza mwelekeo wa thread. Pamoja sanaoa