Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,308
- 105,627
Umeikubali sana nini mkuu?Sir,
Hapa umefikiria mara tatu, sio mara mbili na definetely sio mara moja.
Anyway, mada ni ya magari. Ila kimsingi hii kitu. Aaah nimeikubali sana.
Umeikubali sana nini mkuu?Sir,
Hapa umefikiria mara tatu, sio mara mbili na definetely sio mara moja.
Anyway, mada ni ya magari. Ila kimsingi hii kitu. Aaah nimeikubali sana.
Hivi bado mmiliki ni TATA?Aisee hii mashine ni sayari nyingine ebu fikiria hiyo technology iliyotumika ya dynamic air suspension yaani inabalance gari hata kama utakunja Kwa speed kubwa bado zitatanuka upande mmoja na kubalance iwe lever moja na suspension za upande WA pili...
Kuanzia music ndani ndiyo balaa gari ina speaker 29 za kuchuja muziki hakika hapa wanastahili pongezi Kwa kuwekeza kwenye hii gari Kwa kipindi cha miaka 5
Wazungu watabakia kuwa wazungu to
Hivi bado mmiliki ni TATA?
Tata na range rover ni partnership Toka 2008 huwa wanashirikiana kwenye mambo mengi ya kubiasharaHivi bado mmiliki ni TATA?
Aliinunua sio partnership bali aliinunua mkuu na kuunda jaguar landrover.Tata na range rover ni partnership Toka 2008 huwa wanashirikiana kwenye mambo mengi ya kubiashara
Yes ni kweli kabisaa!!! Kumbuka Tata motors ni waingereza piaAliinunua sio partnership bali aliinunua mkuu na kuunda jaguar landrover.
Ni ya TATA group ambayo mmiliki ni Ratan Tata mhindi. Huyu mhindi taarifa inasemekana angekuwa mmoja kati ya watu matajiri sana labda hata wa kwanza ila faida kubwa ya kampuni yake inatumika katika kufund shughuli za kijamii dunianj kama elimu, afya n.k duniani na yeye mapato anayochumiliki ni sehemu ndogo sana ya faida.Yes ni kweli kabisaa!!! Kumbuka Tata motors ni waingereza pia
Hata usiprobe sana, utakuwa disapointed.Umeikubali sana nini mkuu?
Nimekuelewa sana mkuu.Hata usiprobe sana, utakuwa disapointed.
Lakini anyway: Kufikiria mara moja unajiangalia wewe tu kutimiza mahitaji/matakwa yako bila kujali mwingine.☝
Unapofikiria kitu level ya golden rule unakuwa umefikiri mara mbili.✌
Kufikia mara tatu unakuwa umeuniversalize your principles. Aan umefikiria sio wewe tu ufanye, au ufanyiwe bali kila mtu itafaa aenende hivyo. Jiniazi, god level hii.
Mambo ya carbon footprint ndo yapo levo hizo sasa. Ndo maana nimeappreciate.
Kiufupi ni kwamba mentality, hizo za responsibility kwa vizazi na vizazi inakupa ruhusa ya kuishi mbinguni.
Umeona sasa nishakudisappoint 🤭🤣🤣🤣
To neutralize it basi bro consider heaven to bebjust like some high level civilization imaginable. Basi ndo mnatakiwa watu kama nyie. Ova.