theweakheart
Member
- Jan 31, 2021
- 5
- 2
Habari wakuu... nipo humu JF tangu 2021 ila sijui chochote na wala namna ya kuitumia hii app. maelekezo tafadhali
Pole ila leo umewezaHabari wakuu... nipo humu JF tangu 2021 ila sijui chochote na wala namna ya kuitumia hii app. maelekezo tafadhali
najaribu mkuu
sawa nashkuru kiongoziMcheki dronedrake ndo katibu wa mapokezi kwa wageni wa june 2023
Mdogo mdogo utaweza hata mbuyu ulianza kama mchichanajaribu mkuu
hatua kwa hatua mkuuKitendo cha kuandika thread na kirespond kwenye comments ndio kuweza kwenyewe
wapi mkuu?Weka picha yako kwa kuanzia