hungary
Member
- Jan 20, 2025
- 61
- 89
Habari za wakati huu wadau wa JF
Naomba kwa yeyote ambae alishawahi kufanya entrance exam kwenye chuo hiki naomba anipe muongozo na mitihani inavyokuwa
Pia kwa ambao wanasoma chuo hiki naomba mnipe dodoso kuhusu maisha ya uko , ugumu na uwepesi wa hiki chuo na n.k
Asanteni
Naomba kwa yeyote ambae alishawahi kufanya entrance exam kwenye chuo hiki naomba anipe muongozo na mitihani inavyokuwa
Pia kwa ambao wanasoma chuo hiki naomba mnipe dodoso kuhusu maisha ya uko , ugumu na uwepesi wa hiki chuo na n.k
Asanteni