March 2025
Windhoek, Namibia
EXCLUSIVE MAHOJIANO : NA JOSEPH KABILA RAIS MSTAAFU WA CONGO DR
View: https://m.youtube.com/watch?v=kX6AYffI1Hc
Kama Mwandishi nataka kufahamu Baada ya miaka 18 ya kutumika kama rais wa DR Congo na baadaye kustaafu, mh. Joseph Kabila umepotea sana je nini kinaendelea?
Ndugu mwandishi - Nipo mzima napumua kama unavyoniona na ninaendelea na masomo ..
Mheshimiwa umesema umekuwa una harakati za kichuo ktk chuo kikuu cha University of Johannesburg ....
Bwana Mwandishi, Ni kweli nilikuwa katika harakati za kisomi, lakini nimekatisha masomo miezi mitatu iliyopita... kwa kuwa Congo siyo mazuri na katika hili siwezi kuwa mtu mshika yote (multitasking) kama mambo mazito nyeti kama masomo... na pia kufuatilia mambo ya nyumbani Congo ...
Hivyo (Joseph Kabila) nimechukua likizo ya kusitisha masomo ili nguvu zote ziende katika suala la Congo na chama cha siasa ambacho nakiongoza ..
Lakini mheshimiwa mwaka 2008 wewe ulikuwa mtu muhimu ulioanzisha makubaliano maridhiano ili usalama upatikane ..
Ni kweli nilishiriki moja kwa moja michakato ya Zambia mwaka 2001, mazungumzo ya Sun City South Africa 2006 na pia 2008 kuhusu ushirikishwaji, haki za wakongomani wote ... lakini kwa jinsi tunavyoongea leo 2025 kuna mikono ya wadau wengi inayoingilia tatizo la Congo ...
Kuondolewa kwa majeshi ya kigeni kama SADC SAMIDR nchini Congo mheshimiwa rais una neno la kusema mwaka 2025...
Ndigu mwandishi ni kweli kuondolewa kwa majeshi ni muhimu, maana hata mwaka 2001 nikiwa vijana na wenzangu tulijitosa kichwa kichwa pengine kwa ujana wetu tukafanikiwa kufanya maamuzi magumu ..
Ndugu mwandishi Lakini leo 2025 tumerudi katika changamoto ile ile ya 2001 ya kuondoa majeshi ya kigeni 7 yaliyopo Congo... mamluki wa kutoka ulaya pia makundi ya mgambo wa kicongomani yanayozidi 100 hivyo unaona hali ilivyo mbaya ...
Na ndugu mwandishi majeshi ya kigeni yakiondolewa ndiyo tutajua nia njema ya makundi ya wakongomani kama kweli wanataka amani... hali ilivyo ni mbaya na inaelekea katika hatari kubwa ... hivyo inaelekea itabidi tutoe mchango wetu kuzuia tusikfikie hatari iliyopo mbele..
Ndugu mwandishi hakuna mtu kutoka nje anayejua muarubaini wa matatizo ya Congo kama wakongomani wote, hivyo ni jukumu letu wakongomani kutunza sovereignty (mipaka)ya nchi yetu ..
Mheshimiwa rais baada ya miaka 35 kuwepo katika siasa na mambo ya kiinchi, unaweza kutuambia nini kuhusu wewe siku za mbeleni zinazokuja ?
Ndugu mwandishi kuhusu siku zijazo ni mwenyezi Mungu ndiyo anajua, kweli nimepata uelewa, ujuzi na hekima na bado nina nguvu zimebaki kidogo hivyo sijui nitatumika vipi ... Ni hayo tu.
Source : Patient Sayiba Tambwe
Windhoek, Namibia
EXCLUSIVE MAHOJIANO : NA JOSEPH KABILA RAIS MSTAAFU WA CONGO DR
View: https://m.youtube.com/watch?v=kX6AYffI1Hc
Kama Mwandishi nataka kufahamu Baada ya miaka 18 ya kutumika kama rais wa DR Congo na baadaye kustaafu, mh. Joseph Kabila umepotea sana je nini kinaendelea?
Ndugu mwandishi - Nipo mzima napumua kama unavyoniona na ninaendelea na masomo ..
Mheshimiwa umesema umekuwa una harakati za kichuo ktk chuo kikuu cha University of Johannesburg ....
Bwana Mwandishi, Ni kweli nilikuwa katika harakati za kisomi, lakini nimekatisha masomo miezi mitatu iliyopita... kwa kuwa Congo siyo mazuri na katika hili siwezi kuwa mtu mshika yote (multitasking) kama mambo mazito nyeti kama masomo... na pia kufuatilia mambo ya nyumbani Congo ...
Hivyo (Joseph Kabila) nimechukua likizo ya kusitisha masomo ili nguvu zote ziende katika suala la Congo na chama cha siasa ambacho nakiongoza ..
Lakini mheshimiwa mwaka 2008 wewe ulikuwa mtu muhimu ulioanzisha makubaliano maridhiano ili usalama upatikane ..
Ni kweli nilishiriki moja kwa moja michakato ya Zambia mwaka 2001, mazungumzo ya Sun City South Africa 2006 na pia 2008 kuhusu ushirikishwaji, haki za wakongomani wote ... lakini kwa jinsi tunavyoongea leo 2025 kuna mikono ya wadau wengi inayoingilia tatizo la Congo ...
Kuondolewa kwa majeshi ya kigeni kama SADC SAMIDR nchini Congo mheshimiwa rais una neno la kusema mwaka 2025...
Ndigu mwandishi ni kweli kuondolewa kwa majeshi ni muhimu, maana hata mwaka 2001 nikiwa vijana na wenzangu tulijitosa kichwa kichwa pengine kwa ujana wetu tukafanikiwa kufanya maamuzi magumu ..
Ndugu mwandishi Lakini leo 2025 tumerudi katika changamoto ile ile ya 2001 ya kuondoa majeshi ya kigeni 7 yaliyopo Congo... mamluki wa kutoka ulaya pia makundi ya mgambo wa kicongomani yanayozidi 100 hivyo unaona hali ilivyo mbaya ...
Na ndugu mwandishi majeshi ya kigeni yakiondolewa ndiyo tutajua nia njema ya makundi ya wakongomani kama kweli wanataka amani... hali ilivyo ni mbaya na inaelekea katika hatari kubwa ... hivyo inaelekea itabidi tutoe mchango wetu kuzuia tusikfikie hatari iliyopo mbele..
Ndugu mwandishi hakuna mtu kutoka nje anayejua muarubaini wa matatizo ya Congo kama wakongomani wote, hivyo ni jukumu letu wakongomani kutunza sovereignty (mipaka)ya nchi yetu ..
Mheshimiwa rais baada ya miaka 35 kuwepo katika siasa na mambo ya kiinchi, unaweza kutuambia nini kuhusu wewe siku za mbeleni zinazokuja ?
Ndugu mwandishi kuhusu siku zijazo ni mwenyezi Mungu ndiyo anajua, kweli nimepata uelewa, ujuzi na hekima na bado nina nguvu zimebaki kidogo hivyo sijui nitatumika vipi ... Ni hayo tu.
Source : Patient Sayiba Tambwe