Hii interview ungeiweka jioni ingekuwa poa sana unajua people wako kwa church wengine hangovers za wikiendi ila twendreeeOk..ni Changamoto gani unazokumbana Nazo katka kazi zako
Basi ikafika jioni niataendelea mkuuDJ Seji post: 24297657 said:Hii interview ungeiweka jioni ingekuwa poa sana unajua people wako kwa church wengine hangovers za wikiendi ila twendreee
Changamoto kibao mkuu muda ukiongoza nakosa muda Wa kutosha kupiga hela kitabu kinabana
Sawa usijali boresha maswali Mimi ni mtu Wa difficult questions Na love questionsBasi ikafika jioni niataendelea mkuu
Hata Wewe uko poa broWatakuja wanaojua
Jioni ya saa ngapBasi ikafika jioni niataendelea mkuu