Wana JF, polen kwa majukumu, mwenzenu nilipigiwa simu jana saa 12 jion yaan saa 1 kasoro hivi ya kunitaka kufika katika interview ila bahati mbaya iliyoje nimekwama nauli kwani nipo mbali sana Kagera na nimekuja kumsalimia ndugu yangu najuta hata sijui kwanini nilikuja huku ila ni mipango ya Mungu tu na niliomba nafasi mbili tofauti na nimebahatika kupigiwa simu kwa nafasi zote. Nichukue nafasi kuwatakia kila la kheri wale wote walioitwa na watakaobahatika kufika.
)