Interview UTT Microfinance

Interview UTT Microfinance

Mizzle87

Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
93
Reaction score
6
Wana JF, polen kwa majukumu, mwenzenu nilipigiwa simu jana saa 12 jion yaan saa 1 kasoro hivi ya kunitaka kufika katika interview ila bahati mbaya iliyoje nimekwama nauli kwani nipo mbali sana Kagera na nimekuja kumsalimia ndugu yangu najuta hata sijui kwanini nilikuja huku ila ni mipango ya Mungu tu na niliomba nafasi mbili tofauti na nimebahatika kupigiwa simu kwa nafasi zote. Nichukue nafasi kuwatakia kila la kheri wale wote walioitwa na watakaobahatika kufika.
 
acha ujinga, wapigie simu waambie uko kagera na hauwezi kufika waangalie uwezekano wa kuhamishia interview tarehe ingine (uitaje) au kama wanaweza wakakufanyia kwa njia ya simu.

we vipi wewe.
 
acha ujinga, wapigie simu waambie uko kagera na hauwezi kufika waangalie uwezekano wa kuhamishia interview tarehe ingine (uitaje) au kama wanaweza wakakufanyia kwa njia ya simu. we vipi wewe.

Mkuu hilo linawezekana likafanyika kwa ivo ikiwa watafuta kazi ni wengi? Minimeona acha niaje ivo kwa kushindwa kwangu ambayo inaweza ikawaongezea nafasi ya kupata kaz kwa watakao fika.
 
Mkuu hilo linawezekana likafanyika kwa ivo ikiwa watafuta kazi ni wengi? Minimeona acha niaje ivo kwa kushindwa kwangu ambayo inaweza ikawaongezea nafasi ya kupata kaz kwa watakao fika.

I mean do not give up and call them, call them tomorrow. stop arguing.
 
Huyu jamaa anawazingua,kuna mambo nilikua nayafuatilia UTT,wakaniambia ndo kwanza deadline ya kupokea maombi ilikua tarehe 23/feb,kwa kifupi bado hata hawajaanza kupitia application zenu.
 
Huyu jamaa anawazingua,kuna mambo nilikua nayafuatilia UTT,wakaniambia ndo kwanza deadline ya kupokea maombi ilikua tarehe 23/feb,kwa kifupi bado hata hawajaanza kupitia application zenu.

Mkuu tu wengi lakini tunatofauti, binafsi siwezi danganya adhara kwani sinafaida yoyote ikiwa wameita au hawajaita zaidi nami nimuanga wa ajira na niliomba pia. Nimepgiwa simu kwa 0222136974, wakaniambia usaili utafanyika ukumbi wa UCC Udsm kuanzia saa 2 kamili ya tar 14 means jumamosi ya kesho. Ivo tusiwe tunapenda kukanusha vitu tusivyojua na hata huyo uliemuulza akakujbu hilo pengne alikujbu kuondoa usumbufu.
 
Mkuu tu wengi lakini tunatofauti, binafsi siwezi danganya adhara kwani sinafaida yoyote ikiwa wameita au hawajaita zaidi nami nimuanga wa ajira na niliomba pia. Nimepgiwa simu kwa 0222136974, wakaniambia usaili utafanyika ukumbi wa UCC Udsm kuanzia saa 2 kamili ya tar 14 means jumamosi ya kesho. Ivo tusiwe tunapenda kukanusha vitu tusivyojua na hata huyo uliemuulza akakujbu hilo pengne alikujbu kuondoa usumbufu.

we umeitwa positions zipi ?
 
Jaman izo post ni zipi maana na sisi tupo kwenye mkumbo, mkuu ni post gan izo ulizoitwa??
 
Nimefika UCC kwa interview! Do MTU nyomi kama 100 sijui wanawafanyiaje interview wrote hawa so tutakesha hapa
 
Wana JF, polen kwa majukumu, mwenzenu nilipigiwa simu jana saa 12 jion yaan saa 1 kasoro hivi ya kunitaka kufika katika interview ila bahati mbaya iliyoje nimekwama nauli kwani nipo mbali sana Kagera na nimekuja kumsalimia ndugu yangu najuta hata sijui kwanini nilikuja huku ila ni mipango ya Mungu tu na niliomba nafasi mbili tofauti na nimebahatika kupigiwa simu kwa nafasi zote. Nichukue nafasi kuwatakia kila la kheri wale wote walioitwa na watakaobahatika kufika.
akanana mugazaa..iwee...shiulienda kulaa senene.
 
Vp interview ilikuaje kwa mliofika? Na waliokua wakibisha sasa naona watakua wamepata uhakika. Kila la kheri mlifika na kujarbu bahati zenu kwa maana nimesikia waliita watu wengi sana, watainiwa wameingia ktk vyumba 10 ingawa sijui vyumba ivo vilikua na ukubwa gani?
 
Wana JF, polen kwa majukumu, mwenzenu nilipigiwa simu jana saa 12 jion yaan saa 1 kasoro hivi ya kunitaka kufika katika interview ila bahati mbaya iliyoje nimekwama nauli kwani nipo mbali sana Kagera na nimekuja kumsalimia ndugu yangu najuta hata sijui kwanini nilikuja huku ila ni mipango ya Mungu tu na niliomba nafasi mbili tofauti na nimebahatika kupigiwa simu kwa nafasi zote. Nichukue nafasi kuwatakia kila la kheri wale wote walioitwa na watakaobahatika kufika.


the same to me, niliitwa kwenye interview mwezi wa 12 mwaka jana, nilishindwa kufika kwa kuwa ilikuwa sku inayofuata....
ki ukweli watu tunaotoka kanda hyo, huwa tunakutana na ugumu hasa linapokuja suala kama hilo la kuitwa kwenye usail..
pole sana kaka..
 
Kwa waliofika, zilizofanyika ni written or oral Interview ?? Nahisi kuna nafasi nyeti ambazo wagombea wake ni wachache wao hawanaga written, hazijaitwaaa
 
Kwa waliofika, zilizofanyika ni written or oral Interview ?? Nahisi kuna nafasi nyeti ambazo wagombea wake ni wachache wao hawanaga written, hazijaitwaaa

Kwa taarifa nilyonayo leo ndio ilikua interview ya mwisho kwani kuna kazi zingne waliitwa wachache na walifanyia pale pale HQ POSTA, Leo ilikua written nasikia. Pia utt huwa wanaitaga watu kutokana na uitaji wao nikimaanisha ata km wameshafanikiwa kupata waliokua wakiwataka kwa wakat huu ikitokea uitaji km itakua ni mda mfupi kutoka sasa hawatatangaza bali watatumia maombi ya watu waliomba kipindi walichotangaza na kuwaita ktk interview.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom