Swali: Ukishuka tu Ubungo Bus Terminal, kuipata Msimbazi Centre unapanda daladala za wapi? Kuna Lodge/Guest za bei chee mitaa hiyo? Au hapo ni ghali sana? Maana nimeitwa hiyo Tar 09 saa 8 mchana, kama kuna mtaa wa karibu ambao usafiri kufika hapo hautasumbua nielekezwe basi nikachukue affordable chumba hapo...
Usije Mjini
jamani mliofanya leo pepa tudokezeeni basi