Wale wote mnaohusika na hili jambo mko wapi? mbona kimya, tupeni posible hasa mliokuwa kwenye ile ya mwaka jana, writen inakuwaje? na oral pia wanauliza maswali ya aina gani? unaweza ukaushangaa nauliziaje habari za oral wakati writen bado sijapita, ni kwamba ukifanya writen ukapita, kesho yake ni oral, so ukibahatika kupita hutakuwa na mda wa kutosha kuulizia hili jambo, ni vizuri kujiandaa mapema.