Interview PPF

Interview PPF

eribedama

Senior Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
114
Reaction score
78
Hivi hawa PPF ndo wameacha hata kutujibu kama hatukupita mchujo wa pili (Uliokua wa hivyo)? Maana interview ya kwanza watu waliitwa, ya pili wakaitwa na ambao hawakuitwa waliambiwa pia. This time imekuaje tena? Tayari wameshaita watu?

Mwenye taarifa atusaidie tafadhali.
 
Kwa ile mitiani yao ni dhahiri shairi hawatutaki tufanye kazi kwao hao PPF.
 
Mwisho wa filamu la kifilipino ilikuwa ni taasis ya watu waziwa ..
 
Kaka una roho ngumu yani bado unao tu hao jamaa mimi sina hamu nao kabisa tangu nitoke pale the institute of adult education ila last week nliskia kuna tetesi kua wanaita watu for oral interview!
 
Naskia wameita kuna mtu wa contribution amefanya oral interview ijumaa iliyopita
 
Interview haindeshwi kwa utaratibu kama ule ppf...hata mamluki anazama anajifanyia pepa anasepa,hakukuwa hata na list za majina za kusaini,tuliandika majina badala ya kupewa namba simple kumpendelea mtu wamtakaye.
 
Bado hawajaita interview ya kwanza ilikua 6/6 ya pili ilikua 27/6 pale maktaba na ya tatu ilikua 10/7 sasa watu wameripoti lini acha mambo yako bana walisema after two weeks baada ya oral interview na bado
 
hawa jamaa vp mbona kimya tu au ndo wametuchinjia baharini?
 
Ukiona kimya pia ujue hukubahatika, kuna mtu kanitonya watu wanafanyiwa oral saiv (operation)
 
Back
Top Bottom