Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Kwenye Mboni Show leo anahojiwa mama ambaye ni mtunza maiti wa Amana Hospitali na Kijana mchimba makaburi.
Kijana mchimba makaburi anasema kuwa, wakiwa wanachimba kaburi, na wakakutana na mifupa, basi huichimbia kidogo kisha huizika tena. Kwa hiyo kuna baadhi ya makaburi wamezikwa watu wawili.
Kijana mchimba makaburi anasema kuwa, wakiwa wanachimba kaburi, na wakakutana na mifupa, basi huichimbia kidogo kisha huizika tena. Kwa hiyo kuna baadhi ya makaburi wamezikwa watu wawili.