Interview na Mchimba makaburi na mama Mtunza Maiti EATV

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,781
Kwenye Mboni Show leo anahojiwa mama ambaye ni mtunza maiti wa Amana Hospitali na Kijana mchimba makaburi.
Kijana mchimba makaburi anasema kuwa, wakiwa wanachimba kaburi, na wakakutana na mifupa, basi huichimbia kidogo kisha huizika tena. Kwa hiyo kuna baadhi ya makaburi wamezikwa watu wawili.
 
Kwenye Mboni Show leo anahojiwa mama ambaye ni mtunza maiti wa Amana Hospitali na Kijana mchimba makaburi.
Kijana mchimba makaburi anasema kuwa, wakiwa wanachimba kaburi, na wakakutana na mifupa, basi huichimbia kidogo kisha huizika tena. Kwa hiyo kuna baadhi ya makaburi wamezikwa watu wawili.

Duh hapa nafkiri swala ni kuongeza maeneo zaidi ya kuzikia.
 
Back
Top Bottom