nauli mbeya to dar ni 40000 na sehemu nzuri hill view hoteli na pale ni jirani na ofisi za idara ya Maji
Mkamsalimie shemeji yetu yule injinia pale idara ya maji alochukua shemeji yetu kaka akaamua kujiua
Mkuu wameanza ita lini na je wanapiga simu,sms au email au wametoa majina kwa ujumla? AhsantehWale wote tulio itwa interview idara ya maji Mbeya tukutane hapa. Wengine hatujawahi fika Mbeya kabisa.
Kama kuna wenyeji mtuambie sehemu nzuri ya kufikia na maelezo mengine kama nauli toka Dar to Mbeya na Bus zuri.. Asante
Huitaji na malaya labda wakukuliwaza muda wote wa kule mbeya?? Maana kuna baridi la hatari mkuuWale wote tulio itwa interview idara ya maji Mbeya tukutane hapa. Wengine hatujawahi fika Mbeya kabisa.
Kama kuna wenyeji mtuambie sehemu nzuri ya kufikia na maelezo mengine kama nauli toka Dar to Mbeya na Bus zuri.. Asante
HatariiMkamsalimie shemeji yetu yule injinia pale idara ya maji alochukua shemeji yetu kaka akaamua kujiua
Majibu yanaonekana wapi mkuu? Kwenye web yao sioni kitu au wamekupigia simu?Wale wote tulio itwa interview idara ya maji Mbeya tukutane hapa. Wengine hatujawahi fika Mbeya kabisa.
Kama kuna wenyeji mtuambie sehemu nzuri ya kufikia na maelezo mengine kama nauli toka Dar to Mbeya na Bus zuri.. Asante
Bosi majibu umeyapata web au wamekucontact kwa simu? Mbona hili swali unalirukaWatakuja wenye uhitaji wa Huduma hiyo
Ndio bossUliomba pia.?!..
Sio Utumishi ni ya idara ya maji mkuuKama ni interview ya utumishi mkuu nikutakie kila la heri