wewe achana na izo kampuni zinazotaka utoe hela,tusikilize sisi tulioingia mkenge long time,nilishakutana na icho kitu nikatuma pesa wakanipa online exams nikafanya wakanipa pass mark za juu kishenzi hata mi najua sikufaulu vile baada ya hapo coz nilikuwa nimeshawapa pesa sikusikia chochote kutoka kwao.so angalia issue nyingine.Mind you,anytime unapoona company au NGO inkuambia utoe ela achana nazo ni utapeli tu.