Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,253
Wakuu habarini za Asubuhi na poleni na majukumu ya kila siku!
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
Lengo la kuandika hapa nikuwaombeni mnisaidie aptitude test Benki Kuu ya Tanzania (BOT) huwa inakuaje?
Au maswali yake huwa vipi?
Maana nimeitwa kwenye interview, naombeni msaada nafasi ni HR.
Naomba kuwasilisha.
na nakwambiaje lazima nikae pale mpaka nastaafu